eBooks

14 Books found
Insha Tatu za Kifalsafa

Authors: Julius K. Nyerere

In Occasional Papers

By OLS Admin

Hazina kama hii ya mawazo, fikra na maandishi mahiri ya Mwalimu katika insha, yenye ladha ya kipekee ni nadra sana kupatikana kutoka kwa wanasiasa wa kisasa. Tuna imani kwamba mbali ya kufarijika, kizazi hiki na vizazi vijavyo vitakuwa warithi waaminifu, waadilifu na wabunifu wa lulu hii ya ufahamu na usomi.

Ghettoisation of Basic Research in Higher Education

Authors: Chachage Seithy L. Chachage

In Occasional Papers

By OLS Admin

Ten years ago on 9th July 2016, Tanzania and the world lost a scholar of great depth, an astute researcher, and above all, a committed intellectual. This booklet brings together three of Chachage Seithy L. Chachage’s papers that speak to a burning current question in higher education - that of basic research.

Capitalism, Socialism and Petty Pro BOOK

Authors: Prabhat Patnaik

In Nyerere Dialogue Lecture

By OLS Admin

In November 2018, Emeritus Professor Prabhat Patnaik, delivered the annual Nyerere Dialogue Lecture published here. In this lecture, Professor Patnaik discusses the place of petty production in the development trajectory of the countries of the global South.

Barua kwa Mpenzi wangu Azimio

Authors: Prof. Issa Shivji

In Special Publications

By OLS Admin

Utungo huu wa Prof. Issa Shivji wa Barua kwa Mpenzi Wangu ni ungamo la mtu ambaye kwa sehemu kubwa ya maisha yake ameamini na kushiriki katika mapambano hayo ya kuwatetea wanyonge. Huyu ni mtu ambaye alilipokea na kulikubali Azimio kuwa ni chombo cha kuleta ukombozi, na katika utungo huu anatudhihirishia kuwa bado anaamini hivyo. Amekataa ‘kugeuka jiwe.’ Usaliti na ‘‘uritadi’’ wa wale waliopokea hatamu za kulitekeleza Azimio haujamkatisha tamaa.

  • Featured
The Arusha Declaration and TANU's Policy on Socialism and Self-reliance

Authors: Tanganyika African National Union (TANU)

In Special Publications

By OLS Admin

The Arusha Declaration is a historical document to come out of Africa in the last century. On the occasion of the fiftieth anniversary of the Declaration and due to great demand for an English version, Kavazi la Mwalimu Nyerere (Nyerere Resource Centre) was pleased to reprint it.